Wauzaji wa Toyota Passo Tanzania

Verified
TZS 5,000,000+ CALL / SMS

Bei ya Toyota Passo Tanzania pamoja na sifa zote za Magari Ya Toyota Passo tumeziandika hapa chini pia Magari haya ni mazuri sana na yana ubora na pia yanastahimili sana barabara zetu.

Kwenye sifa za Gari Hii nilizokuandikia ukiona mahala nimepaacha wazi basi ni kwasababu bado sijaiona hiyo sifa kwenye Magari Ya Toyota Passo na endapo nikiiona nitaiongeza.

Bei Ya Toyota Passo Tanzania

Bei Ya Toyota Passo Used inaweza Kuwa Ndogo zaidi au kubwa zaidi Kwasababu inategemea na Uzima wa gari Pamoja na Uaminifu wa Dalali wa Magari Unayemtumia.

Pia Kuna muda Taarifa hizi zinaweza zikawa na kasoro na Endapo ukiona kuna kasoro yoyote tunaomba uwasiliane na sisi ili kuweza kuiweka sawa Taarifa ya Gari Hili la Toyota Passo ili iweze kuendana na uhalisia wake.

Sifa za Gari La Toyota Passo

BrandToyota
ModelPasso
Maximum Power69 – 95ps
Launched in TanzaniaYes
Engine Capacity2,997cc
Available in TanzaniaYes
Number of Seats996 – 1,329cc
ConditionUsed

Magari Ya Toyota Passo Yapo ya New Model na Old Model ya Miaka mbalimbali ila Hapa Tumekuandikia Sifa zake za Jumla za Model zote za Toyota Passo.

Wauzaji wa Toyota Passo Tanzania
Wauzaji wa Toyota Passo Tanzania
TZS 5,000,000+
Subscription Form

Tuandikie email yako uweze kupata post za mtandao wa wauzaji kwa haraka.

2 Comments
  1. Napenda Toyota passo

Leave a Reply to Lenald Minja Cancel reply