List Ya Wauzaji Tanzania
Tumekuwekea List Ya Wauzaji Ambao ni Waaminifu na Wastaharabu na Wanaofanya Biashara za Kuuza Bidhaa Kwa Bei Nafuu Ndani Ya Nnchi Ya Tanzania

Tuandikie Email
Ungana na Wengine 2500+ Kwenye List Ya Email.

Mwanzilishi wa Wauzaji
Hallow Boss, Karibu sana kwenye website ya Wauzaji wa Tanzania, Mimi ni Lenald Minja, A tech Entrepreneur.
Bado nasoma information technology mkoani Dar Es Salaam lakini nilianza safari ya ujasiriamali wa mtandaoni mwaka 2018.
Pia kabla ya kuanzisha Wauzaji nimeshawahi kufeli kwenye project zangu tano za mwanzoni kabisa za mtandaoni.
Unaweza ukasoma zaidi kuhusu Wauzaji kwenye “About Us” Page.