Wauzaji Education

Elimu ya maisha Tanzania ikiwemo elimu ya maisha na jinsi ya kujikwamua kiuchumi pamoja na kuwa na tabia njema kweye jamii.

Jinsi Ya Kuongea Mbele za Watu

Jinsi Ya Kuongea Mbele za Watu

Kuzungumza mbele ya watu kunaweza kuwa ni tatizo ikiwa hujiamini au hujajiandaa vyema Hata hivyo, mazoezi na mtazamo chanya vinaweza kukusaidia kuwa mzungumzaji bora mbele ya watu. 1. Jitahidi Kujiandaa na Kufanya Mazoezi Watu wengi wamekuwa wakikumbwa na hofu, wasiwasi na hata kutokwa na jasho sana wanapokuwa ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kuacha Kunywa Pombe Kwenye Maisha

Jinsi Ya Kuacha Kunywa Pombe Kwenye Maisha

Pombe ni kinywaji kinachotumiwa na watu wengi Tanzania pasipo hata kufahamu athari zake na Pombe ina athari mbalimbali kiafya na kisaikolojia. Wengi baada ya kuathiriwa na pombe hutamani kujua jinsi ya kuachana na unywaji wa pombe lakini ni wachache tu ndiyo hufanikiwa katika hili. 1. Jitahidi Kuwaepuka Watu ...

S0MA ZAIDI
Tabia Zinazoleta Umasikini Kwenye Maisha

Tabia Zinazoleta Umasikini Kwenye Maisha

Mambo yanayo zuia mafanikio kwenye maisha Tanzania ni mengi sana na ukiwachunguza sana watu waliofanikiwa utagundua kuwa kuna tabia au mambo kadhaa yanayoshabihiana kati yao. Pia ukiwachunguza watu walioshindwa au ambao hawajafanikiwa, utabaini pia kuna tabia au mambo kadhaa yanayofanana kati yao. 1. Masikini ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kupunguza Matumizi Ya Umeme Tanzania

Jinsi Ya Kupunguza Matumizi Ya Umeme Tanzania

Kupunguza matumizi ya umeme Tanzania kunaweza kuokoa fedha nyingi ambazo zingepotea kwa kulipia gharama zisizo na sababu za matumizi ya umeme. 1. Jitahidi kuzima taa na vifaa usivyo vitumia Mara nyingi umeme mwingi hupotea kutokana na kuacha vifaa mbalimbali vikiwa vimewashwa bila sababu. Si jambo la ...

S0MA ZAIDI
Tabia za Mafanikio Kwenye Maisha

Tabia za Mafanikio Kwenye Maisha

Kila jambo tunaloliona kwenye ulimwengu wa leo lilianza kwanza kwenye fikra. hauwezi kufanikiwa ikiwa hautoona lile unalotaka kulifanya au kulifanikisha akilini mwako kwanza. 1. Amini Kuwa Kila Kitu Kinawezekana Hakuna mtu yeyote anayeweza kuwa mshindi bila kuamini kwanza kuwa kila kitu kinawezekana. Ikiwa ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kuwa Motivational Speaker Tanzania

Jinsi Ya Kuwa Motivational Speaker Tanzania

Ninapotaja Motivational Speakers wa Tanzania naamini unafahamu kuwa ni watu wanaowasaidia watu kuendeleza na kuwezesha maono au utoto wao wa ndani ili watu husika waweze kufanikiwa. Mzungumzaji hamasa anaweza kuzungumzia mada yoyote ile kulingana na uzoefu wake. Wengi hutamani kuwa wazungumzaji hamasa lakini ...

S0MA ZAIDI
Mambo Ya Kuzingatia Unapochagua Mpenzi

Mambo Ya Kuzingatia Unapochagua Mpenzi

Jinsi ya kuchagua mchumba ni swala nyeti linalohitaji maamuzi yanayohusisha hekima, utulivu, kumwomba Mungu pamoja na uchunguzi wa kutosha. Maisha ya watu wengi yamekuwa na matatizo makubwa kutokana na kufanya makosa katika kuchagua mtu wa kuoa au kuolewa naye. Kwa hakika hakuna mwenzi mkamilifu, lakini kuna ...

S0MA ZAIDI
Faida za Kupanga Malengo Kwenye Maisha

Faida za Kupanga Malengo Kwenye Maisha

Kujiwekea malengo maishani kuna umuhimu mkubwa kwani kupanga malengo hutufanya tujikite sawasawa kwenye kila tunachokifanya ili kifanikiwe. Kabla hujakamilisha chochote maishani, ni lazima ufahamu unahitaji nini. Ni lazima ukae chini utafakari kama kile unachokifanya kina thamani kwako ikiwa hakina thamani, basi ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kupanga Malengo Kwenye Maisha

Jinsi Ya Kupanga Malengo Kwenye Maisha

Kupanga malengo kwenye maisha ni jambo muhimu na kama ukiamua kuanza unaweza kupanga malengo leo na kuhakikisha kuwa kesho inakuwa nzuri. 1. Jitahidi Kupanga Malengo Kuhusu kesho Kuwa na mpango wa kesho leo kutakuwezesha kufanya mambo kwa kutegemea mwongozo na mpangilio uliopo badala ya kuamka na kufanya ...

S0MA ZAIDI
Faida za Kusema Hapana Kwenye Maisha

Faida za Kusema Hapana Kwenye Maisha

Kwenye maisha yetu ni muhimu sana kusema Hapana na tunatakiwa kufanya maamuzi fulani ya kukataa na sio kukubaliana kila mipango au jambo. 1. Kusema Hapana Hukutenga na Mipango Mibaya Siyo kila mpango unafaa kwenye maisha yako. Mipango mingine inaweza kuangamiza ndoto na malengo yako. Kwa mfano mtu ...

S0MA ZAIDI
Mambo Ya Kuzingatia Kwenye Ujenzi Tanzania

Mambo Ya Kuzingatia Kwenye Ujenzi Tanzania

Mambo ya kuzingatia kwenye ujenzi wa nyumba Tanzania ni muhimu kuyajua kwasababu Nyumba ni hitaji muhimu kwa watu wote. Kila mmoja anatamani na ana ndoto za kununua au kujenga nyumba nzuri na ya kisasa. Ni kweli kuwa ujenzi wa nyumba unahitaji rasilimali nyingi hasa fedha. Pamoja na gharama hizi za ujenzi wa ...

S0MA ZAIDI
Faida za Kusikiliza Muziki Kwenye Maisha

Faida za Kusikiliza Muziki Kwenye Maisha

Kusikiliza muziki ni jambo zuri sana maishani na watu wengi Tanzania wanapenda kusikiliza muziki na Tafiti zinabainisha kuwa kusikiliza mziki kuna manufaa mengi kwa ajili ya afya ya mwili na akili. 1. Mziki Hutufanya Tuwe na Furaha William James alsisema “Siimbi kwa sababu ninafuraha, bali nafurahi kwa kuwa ...

S0MA ZAIDI
Hasara za Kuangalia Tv Kwenye Maisha

Hasara za Kuangalia Tv Kwenye Maisha

Televisheni imekuwa ni kifaa muhimu kwa ajili ya habari na burudani Tanzania hata hivyo television inaweza kuwa na madhara kadha wa kadha kwako ikiwa haitotawaliwa vyema. 1. Kuangalia Tv Hupoteza Muda Unapokaa na kuangalia televisheni ni wazi kuwa unatumia muda mwingi na wa muhimu sana. Hii ni kutokana na ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kupunguza Gharama Ya Ujenzi Tanzania

Jinsi Ya Kupunguza Gharama Ya Ujenzi Tanzania

Jinsi Ya Kupunguza Gharama Ya Ujenzi wa Nyumba Tanzania ni muhimu kwasababu watu wengi wamejikuta katika hali ngumu ya kifedha au hata kukwama katika ujenzi kutokana na kushindwa kuweka mikakati mizuri ya kupunguza gharama za ujenzi. 1. Jitahidi Kuchagua Kiwanja Bora Jinsi ya kuchagua kiwanja sahihi wa kiwanja ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kuacha Tabia Mbaya Kwenye Maisha

Jinsi Ya Kuacha Tabia Mbaya Kwenye Maisha

Tabia mbaya zimekuwa zikiwakabili na kuwatesa watu wengi Tanzania na Haipingiki kuwa tabia mbaya huwazuia watu wengi kufikia malengo yao kwenye maisha. Hata hivyo, waathiriwa wa tabia hizi wengi hutamani kuziacha, lakini wanashindwa kufahamu waanzie wapi na watumie njia gani ili kuacha tabia hizo. 1. Jitahidi ...

S0MA ZAIDI
Faida za Kuwa na Uvumilivu Kwenye Maisha

Faida za Kuwa na Uvumilivu Kwenye Maisha

Kukosa uvumilivu na subira kwenye maisha kumewafanya wengi kushindwa kufanya maamuzi sahihi na kujikuta wakitumbukia kwenye shida zaidi. Haijalishi unapitia magumu mengi kiasi gani, kuvumilia na kuwa na subira kuna faida nyingi na ni lazima. 1. Uvumilivu Husaidia Kufanya Maamuzi Sahihi Ndani ya uvumilivu ...

S0MA ZAIDI
Faida za Kuweka Akiba Kwenye Maisha

Faida za Kuweka Akiba Kwenye Maisha

Kuweka akiba ni kanuni mojawapo ya matumizi mazuri ya pesa. Hata hivyo kutokana na watu wengi kutokuwa na matumizi mazuri ya pesa, bado wengi wanashindwa kuweka akiba. Baadhi ya watu hufikiri kuwa ili uweze kuweka akiba ni lazima uwe na pesa nyingi, lakini ukweli ni kuwa kuweka akiba ni maamuzi tu na siyo kuwa na ...

S0MA ZAIDI
Faida za Kusamehe Kwenye Maisha

Faida za Kusamehe Kwenye Maisha

Kusamehe ni kuamua kutomchukulia mtu hatua na kuondoa kinyongo moyoni mwako kutokana na jambo baya ulilofanyiwa na mtu huyo. Kusamehe kunasema hutakiwi kusikia neno “nisamehe” ndipo uendelee na maisha yako. Kusamehe kumewekwa na ni kwa manufaa zaidi kwa yule aliyekosewa. 1. Kusamehe Hukuweka Huru ...

S0MA ZAIDI
Mambo Ya Kuacha ili Ufanikiwe Kwenye Maisha

Mambo Ya Kuacha ili Ufanikiwe Kwenye Maisha

Vitu vya kukazana na kujitahidi kuviacha kabisa ili uweze kufanikiwa kwenye maisha Tanzania ni muhimu kuvifahamu mapema. 1. Jitahidi Kuacha Kutoa Visingizio Acha kulaumu na kulalamikia watu wengine kwa kutokupata kile unachokihitaji. Acha kusingizia serekali na jamii kuwa ndiyo kikwazo cha wewe kufikia ...

S0MA ZAIDI
Mambo Ya Kuzingatia Unapochagua Bank

Mambo Ya Kuzingatia Unapochagua Bank

Vitu vya kuzingatia unapochagua bank ya biashara ni muhimu kufahamu kwasababu benki ni taasisi muhimu ambayo siyo rahisi mtu kukwepa kuitumia kwa njia moja au nyingine. Kuhifadhi au kusafirisha pesa kwa njia za zamani kumepitwa na wakati sasa ni wakati wa kutumia mifumo salama na ya kisasa. Kwa kuwa benki ni ...

S0MA ZAIDI
Tabia za Watu Waliofanikiwa Kwenye Maisha

Tabia za Watu Waliofanikiwa Kwenye Maisha

Mara nyingi watu hawa huwa na mfuatano au mpangilio mzuri na unaoeleweka wa kazi au maamuzi yao. Kwa kifupi watu hawa hufanikiwa sana na ndiyo huitwa watu waliojipanga. 1. Watu Waliofanikiwa Huwa Wanaandika Kila Kitu Kuandika vitu ni njia mojawapo ya kutekeleza mambo kwa mpangilio. Watu waliojipanga huandika ...

S0MA ZAIDI
Watu wa Kuwaepuka Kwenye Maisha

Watu wa Kuwaepuka Kwenye Maisha

Kuna baadhi ya watu inabidi kuwaepuka kwenye maisha Tanzania kwasababu wanaweza kukurudisha nyuma kimaendeleo na uchumi wako ukaporomoka. 1. Jitahidi Kuwaepuka Watu Wanaohoji Kila Kitu Watu wanaohoji kila kitu hutafuta njia ya kupinga na kukosoa kila unachokifanya. Utatumia muda mwingi kuwaelewesha lakini ...

S0MA ZAIDI
Sheria za Pesa Kwenye Maisha

Sheria za Pesa Kwenye Maisha

Mambo mapya ya kuzingatia na ambayo usiyoyajua kuhusiana na pesa pamoja na jinsi ya kutunza pesa kwenye maisha ya kila siku Tanzania Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara na Usitegemee pesa ya mkopo kuianzishia biashara, upate faida kisha uirudishe pesa ya mkopo na riba yake. Usitumie pesa ambayo bado ...

S0MA ZAIDI
Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kustaafu

Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kustaafu

Kumeshuhudiwa watu wakiishi maisha ya taabu na mahangaiko makubwa baada ya kustaafu na Hili linatokana na kutokujiandaa vyema kabla ya kustaafu. 1. Jitahidi Kujiandaa Kisaikolojia Kustaafu ni kipindi tofauti sana na kipindi ulichokuwa kwenye ajira. Kipindi hiki utakutana na mtindo mpya wamaisha tofauti na ule ...

S0MA ZAIDI
Wauzaji
Logo