Wauzaji Business

Biashara za mtaji mdogo Tanzania kama vile biashara ya nguo, duka, mazao, mchele, nafaka, alizeti, aluminium, bodaboda, chips, bajaji, tigo pesa

Changamoto za Mwanzoni Kwenye Biashara

Changamoto za Mwanzoni Kwenye Biashara

Ukianza biashara yoyote Tanzania changamoto za mwanzoni Kwenye Biashara ni nyingi sana na ni muhimu kufahamu changamoto za biashara ndogo ndogo. 1. Mwanzoni Kwenye Biashara Utahisi Maumivu Kila mtu aliyefanikiwa amepitia kwenye safari yenye maumivu na ikumbukwe kuwa kupita njia yenye changamoto ndiko ...

S0MA ZAIDI
Madhara Na Hasara Ya Kukopesha Kwenye Biashara

Madhara Na Hasara Ya Kukopesha Kwenye Biashara

Katika jaamii zetu za kiafrika ikiwemo Tanzania suala la mikopo ya bidhaa au fedha kutoka kwenye biashara kwenda kwa wateja limezoeleka sana. Ingawa jambo hili linaweza kuwa na manufaa kwa upande fulani, hata hivyo kutokana na kukosekana kwa uaminifu miongoni mwa watu wengi jambo hili limekuwa na athari nyingi ...

S0MA ZAIDI
Faida za Biashara Ya Saloon Tanzania

Faida za Biashara Ya Saloon Tanzania

Biashara ya saloon imekuwa Biashara maarufu sana Tanzania na Huwaingizia Kipato watu wengi katika Maeneo Mbalimbali hapa Tanzania Ukizingatia kuwa Biashara ya saloon ni endelevu mfano mzuri ni kwa sababu kila siku nywele kwenye vichwa vya watu hukua na pia kwa wanawake mitindo mipya huja kila siku. Faida Ya ...

S0MA ZAIDI
Biashara Ya Vifaa Vya Ujenzi Tanzania

Biashara Ya Vifaa Vya Ujenzi Tanzania

Biashara Ya Vifaa vya ujenzi tanzania ni nzuri sana lakini ili kufanikiwa katika biashara ya vifaa vya ujenzi kuna kuhitaji ujue mbinu za biashara pamoja na faida zake kwa tanzania 1. Litambue soko lako la Biashara Ya Vifaa Kulitambua soko ni pamoja na kutambua wateja tarajiwa wa vifaa vya ujenzi na mambo ...

S0MA ZAIDI
Mambo Ya Kuzingatia Kwenye Logo Ya Biashara

Mambo Ya Kuzingatia Kwenye Logo Ya Biashara

Logo ni utambulisho wa biashara, kampuni yako au bidhaa Hivyo, Logo ni moja kati ya mambo makuu ambayo yanafanya biashara yako kukumbukwa na kutambulika. Makampuni na watu mbalimbali wamekuwa wakiwekeza fedha nyingi ili kupata Logo bora Pamoja na kuwekeza pesa nyingi, bado kampuni na watu wengi hawapati Logo bora. ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kutengeneza Pesa Online Tanzania

Jinsi Ya Kutengeneza Pesa Online Tanzania

Jinsi ya kutengeneza pesa online Kuanzisha blogu Kama wewe ni mwandishi unaweza kutengeneza pesa online kwa kuanzisha blogu yako na kuandika makala au habari mbalimbali Unachotakiwa kuzingatia ni mahitaji ya walengwa wako na kuwapa kile wanachotaka. Kama wewe ni shabiki mkubwa wa masuala ya mpira basi blogu ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kutangaza Biashara Tanzania

Jinsi Ya Kutangaza Biashara Tanzania

Jinsi ya kutangaza biashara tanzania ni swala muhimu kwa kila biashara Tanzania ila Tatizo linatokea pale ambapo biashara inashindwa kumudu gharama za matangazo, hasa matangazo ya gharama kubwa. Naamini wewe kama mjasiriamali unafahamu kuwa kuna wakati bajeti ya biashara inakuwa imebana. Hivyo swala la kujitangaza ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kuanzisha Biashara Ya Uandishi Tanzania

Jinsi Ya Kuanzisha Biashara Ya Uandishi Tanzania

Kama umewahi kuwa na ndoto au matamanio ya kuwa mwandishi mkubwa hata kuwa mwandishi bora katika blogu yako, basi ni vyema ukajifunza namna ya kuwa mwandishi bora. 1. Jitahidi Kusoma Maandiko Bora Ni dhahiri kuwa ukihitaji kufahamu nini mana ya uandishi bora ni lazima usome maandiko bora yaliyoandikwa na ...

S0MA ZAIDI
Siri za Mafanikio Katika Biashara Tanzania

Siri za Mafanikio Katika Biashara Tanzania

Siri mbalimbali za mafanikio katika maisha pamoja na mafanikio kwenye biashara ambazo matajiri na watu waliofanikiwa hawazisemagi kwa uwazi. 1. Fedha Siyo Makaratasi Watu wengi wamekuwa wanafikiria fedha ni yale makaratasi au sarafu ambazo tunazishika Na hapa ndipo wengi wanapokwama, kwa sababu wanakosa ule ...

S0MA ZAIDI
Faida za Kupumzika Baada Ya Kumaliza Biashara

Faida za Kupumzika Baada Ya Kumaliza Biashara

Watu wengi hawafahamu umuhimu wa kupumzika, ndiyo maana hawatengi muda wa kutosha wa kupumzika. Ni ukweli usiopingika kuwa kupumzika kuna manufaa makubwa sana kwenye miili na utendaji wetu wa kazi kila siku. 1. Kupumizika Huongeza Uwezo wa Kumbukumbu Ubongo wa mwanadamu unahitaji kupumzika ili uweze ...

S0MA ZAIDI
Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuomba Mkopo wa Biashara

Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuomba Mkopo wa Biashara

Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuomba Mkopo wa Biashara ni muhimu kufahamu Kutokana na kipato cha watu wengi kutokutosheleza mahitaji yao, hujikuta wakilazimika kukopa. Pia wapo waliofanikiwa sana kwenye mipango yao kutokana na mikopo, lakini wapo pia waliofilisika kutokana na mikopo. 1. Fahamu Uwezo Wako wa ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kupunguza Gharama Kwenye Biashara

Jinsi Ya Kupunguza Gharama Kwenye Biashara

Mbinu mojawapo ya kuongeza faida katika kampuni au biashara yako ni kwa kupunguza matumizi ya kampuni yako. Suala la kupunguza matumizi ya pesa ni muhimu zaidi hasa pale ambapo kampuni inakuwa inakabiliwa na changamoto za kifedha. 1. Jitahidi Kupanga Upya Matumizi Kuna matumizi mbalimbali kwenye kila ...

S0MA ZAIDI
Faida Ya Kulipia Matangazo Kwenye Facebook

Faida Ya Kulipia Matangazo Kwenye Facebook

Faida Ya Kulipia Matangazo Facebook? Facebook Sponsored Ads inatoa matokeo bora hasa kwenye kutangaza biashara yako au huduma yako kuliko njia nyingine yeyote. Unaweza kutangaza biashara au huduma yako kwenye eneo husika Unapofanya matangazo ya Sponsored mara zote inakupa chaguzi ya kuchagua wapi unataka ...

S0MA ZAIDI
Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuanzisha Biashara Tanzania

Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuanzisha Biashara Tanzania

Mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kuanza kufanya biashara tanzania ili kupelekea kufanya biashara na kupata mafanikio katika biashara yako Mambo ya kuzingatia kabla ya kuanza biashara Tambua biashara gani inakufaa. Kabla ya kufanya maamuzi yoyote ya biashara fanya utafiti wa biashara gani inakufaa. Tumia ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kuchagua Eneo Zuri La Biashara Tanzania

Jinsi Ya Kuchagua Eneo Zuri La Biashara Tanzania

Jinsi ya kuchagua sehemu ya biashara kwa Tanzania ni muhimu sana kwasababu itachangia na kuongeza mafanikio ya kwenye biashara. 1. Angalia Ushindani wa Biashara Ushindani ni jambo muhimu sana linaloweza kufanya eneo la biashara kuwa zuri au baya. Hebu fikiri mtu mchanga kabisa anaanzisha biashara mahali ambapo ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kupata Mtaji wa Biashara Ndogo Tanzania

Jinsi Ya Kupata Mtaji wa Biashara Ndogo Tanzania

Jinsi ya kupata mtaji wa biashara Tanzania ni muhimu sana kwa kuwa watu wengi huanzisha biashara kwa lengo la kupata pesa ila huwa ni ngumu sana kupata mtaji. 1. Jitahidi kuweka akiba binafsi Mara kadhaa nimekuwa nikieleza kuwa kuweka akiba kuna manufaa mengi, ikiwemo kupata uwezo wa kuwahi fursa mbalimbali na ...

S0MA ZAIDI
Sifa za Wafanya Biashara Wakubwa Tanzania

Sifa za Wafanya Biashara Wakubwa Tanzania

Wajasiriamali wengi waliofanikiwa Tanzania wanafahamu na wanaziishi sifa za wajasiriamali bora. Ni wazi kuwa huwezi kuwa mfanyabiashara bora wakati unazo sifa za mwajiriwa. 1. Wafanya biashara wakubwa wana malengo Malengo ni mwongozo wa kukuwezesha kufanikisha jambo lolote. Kuwa na malengo ni sifa muhimu ambayo ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kupambana Na Changamoto za Biashara Tanzania

Jinsi Ya Kupambana Na Changamoto za Biashara Tanzania

Changamoto za biashara kwa wajasiriamali wadogo wa Tanzania ni nyingi na wamekuwa wakikabiliwa zaidi na changamoto na hata kupelekea kupoteza biashara au miradi yao. 1. Jinsi ya kupata mtaji wa biashara Kila biashara inahitaji mtaji ili iweze kujiendesha na kujipanua. Wajasiriamali wengi wanashindwa kuanzisha ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kufahamu Bidhaa Feki Kwenye Biashara

Jinsi Ya Kufahamu Bidhaa Feki Kwenye Biashara

Mara nyingi tunanunua vitu na bidhaa mbalimbali Tanzania bila kuzifahamu au kuzichunguza vyema Hili limepelekea watu wengi kununua bidhaa zisizofaa kwao au zenye madhara kwenye afya zao. Kutokana na ukosefu wa elimu pamoja na kuishi kwa mazoea, watu wengi hawajui wala hawachunguzi vyema bidhaa wanazozinunua ili ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kuandaa Tangazo Zuri La Biashara

Jinsi Ya Kuandaa Tangazo Zuri La Biashara

Tangazo ni ujumbe wowote wenye kufanya kazi ya kutangaza kitu au huduma fulani. Kutangaza ni kitendo cha kuwafahamisha wateja kwa kuwawezesha kufahamu kuhusu huduma au bidhaa fulani unayoitoa katika biashara yako. Jinsi ya kuandaa Tangazo La biashara kwa urahisi. Hizi ni hatua sita pale unapotaka ...

S0MA ZAIDI
Jinsi Ya Kuwa Mfanya Biashara Mkubwa Tanzania

Jinsi Ya Kuwa Mfanya Biashara Mkubwa Tanzania

Wengi hutamani kuanza ujasiriamali na kuwa wafanyabiashara wakubwa Tanzania lakini siyo wote wanaofanikiwa kutokana na kutokufahamu kanuni muhimu za ujasiriamali. 1. Jitahidi Kuwa Mtatuzi wa Matatizo Ujasiriamali ni zaidi ya kupata pesa, ni lazima kwanza utatue changamoto ya mtu ndipo utaweza kupata pesa kutoka ...

S0MA ZAIDI
Faida za Kutumia Mitandao Ya Kijamii Kwenye Biashara

Faida za Kutumia Mitandao Ya Kijamii Kwenye Biashara

Faida za kutangaza biashara kwenye Mitandao ya kijamii? Gharama ya Kujitangaza ni ndogo sana Gharama ya mitandao ya kijamii ni nafuu sana na programu nyingi za mitandao ya kijamii ni bure. Kutangaza kupitia mitandao ni rahisi mno ukilinganisha na njia za kawaida tulizo zoea. Inaongeza ufahamu wa biashara ...

S0MA ZAIDI
Wauzaji
Logo