Bei ya Toyota ist Tanzania pamoja na sifa zote za Magari Ya Toyota ist tumeziandika hapa chini pia Magari haya ni mazuri sana na yana ubora na pia yanastahimili sana barabara zetu.
Kwenye sifa za Gari Hii nilizokuandikia ukiona mahala nimepaacha wazi basi ni kwasababu bado sijaiona hiyo sifa kwenye Magari Ya Toyota ist na endapo nikiiona nitaiongeza.
Bei Ya Toyota ist Tanzania
Bei Ya Toyota ist Used inaweza Kuwa Ndogo zaidi au kubwa zaidi Kwasababu inategemea na Uzima wa gari Pamoja na Uaminifu wa Dalali wa Magari Unayemtumia.
Pia Kuna muda Taarifa hizi zinaweza zikawa na kasoro na Endapo ukiona kuna kasoro yoyote tunaomba uwasiliane na sisi ili kuweza kuiweka sawa Taarifa ya Gari Hili la Toyota ist ili iweze kuendana na uhalisia wake.
Sifa za Gari La Toyota ist
Brand | Toyota |
Model | ist |
Maximum Power | 87 – 132ps |
Launched in Tanzania | Yes |
Engine Capacity | 1,298 – 1,797cc |
Available in Tanzania | Yes |
Number of Seats | 5 |
Condition | Used |
Magari Ya Toyota ist Yapo ya New Model na Old Model ya Miaka mbalimbali ila Hapa Tumekuandikia Sifa zake za Jumla za Model zote za Toyota ist.
Naipenda sana Toyota ist na Natamani sana nije kuimiliki kwasababu hata bei ya ist mara nyingi ni nafuu.
ist used Ni nzuri sana na zinapatikana kwa bei ya chini ila muhimu ni kumpata dalali wa magari muaminifu.
ist nazikubali kinoma noma.
Gari nzuri sana hizi alafu simple sana.