Wauzaji wa Mashine za Kukamua Alizeti Tanzania

Verified
TZS 500,000+ CALL / SMS

Wauzaji wa Mashine za Kukamua Alizeti Tanzania Pamoja na wauzaji wa Machine za Kukamua Mafuta ya Alizeti used na Mpya kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Mashine za Kukamua Alizeti zinazouzwa ni imara na zenye ubora.

Na pia kwenye namba za simu za muuzaji wa Mashine za Kukamua Alizeti Tanzania nilizokuandikia ukiona mahala kakukwaza naomba unijulishe ili nimtoe kwenye list ya wauzaji wa Mashine za Kukamulia Alizeti Tanzania.

Wauzaji wa Mashine za Kukamua Alizeti Tanzania

Bei Ya Mashine za Kukamua Alizeti kwa Wauzaji wa Mashine za Kukamua Alizeti Tanzania inaweza Kuwa Ndogo zaidi au kubwa Zaidi Kwasababu inategemea na aina Pamoja na idadi ya Mashine za Kukamua na Kuchuja Alizeti unazotaka kununua.

Wauzaji wa Mashine za Kukamua Alizeti Tanzania
Wauzaji wa Mashine za Kukamua Alizeti Tanzania
TZS 500,000+
Subscription Form

Tuandikie email yako uweze kupata post za mtandao wa wauzaji kwa haraka.

14 Comments
  1. Siku za mbeleni nataka kununua mashine ya alizeti niweke huku kijijini kwetu.

  2. Muuzaji wa mashine ya kukamulia alizeti ni mkarimu

  3. Muuzaji wako yuko vizuri Sana

  4. Asante, mashine ya kukamua na kuchuja mafuta ya alizeti ni nzuri.

  5. Habari nataka mashine ya alizeti

  6. Tafadhari nahitaji mashine ya kukamua na kusafisha mafuta ya alizeti.

  7. Nahitaji machine ya kukamua alizeti pia nataka kusafisha ifike geita.

  8. Nahitaji mashine ya kukamua alizeti ya bei nafuu Kabisa.

  9. Habari, Ninatafuta mashine za kukamua na kuchuja mafuta. Je, mnauzaje? Na zina uwezo wa kiasi gani? Zinatumia disel/petrol au umeme? Mnapatikana wapi?

  10. Naomba kupata specification za mashine za kukamulia alizeti pia mashine za kukoboa na kusaga mahindi. Ikiwezekana nipate aina tofauti za mashine na bei zake.

Leave a Reply to Lenald Minja Cancel reply