Bei ya Toyota Harrier Tanzania pamoja na sifa zote za Magari Ya Toyota Harrier tumeziandika hapa chini pia Magari haya ni mazuri sana na yana ubora na pia yanastahimili sana barabara zetu.
Kwenye sifa za Gari Hii nilizokuandikia ukiona mahala nimepaacha wazi basi ni kwasababu bado sijaiona hiyo sifa kwenye Magari Ya Toyota Harrier na endapo nikiiona nitaiongeza.
Bei Ya Toyota Harrier Tanzania
Bei Ya Toyota Harrier Used inaweza Kuwa Ndogo zaidi au kubwa zaidi Kwasababu inategemea na Uzima wa gari Pamoja na Uaminifu wa Dalali wa Magari Unayemtumia.
Pia Kuna muda Taarifa hizi zinaweza zikawa na kasoro na Endapo ukiona kuna kasoro yoyote tunaomba uwasiliane na sisi ili kuweza kuiweka sawa Taarifa ya Gari Hili la Toyota Harrier ili iweze kuendana na uhalisia wake.
Sifa za Gari La Toyota Harrier
Brand | Toyota |
Model | Harrier |
Maximum Power | 140 – 280ps |
Launched in Tanzania | Yes |
Engine Capacity | 1,986 – 3,456cc |
Available in Tanzania | Yes |
Number of Seats | 5 |
Condition | Used |
Magari Ya Toyota Harrier Yapo ya New Model na Old Model ya Miaka mbalimbali ila Hapa Tumekuandikia Sifa zake za Jumla za Model zote za Toyota Harrier.
Habari za kwenu wauzaji, Toyota Willfire hiyo nimeipenda
Asante sana boss ni nzuri sana.