Wauzaji wa Nissan March Tanzania
Bei ya Nissan March Tanzania pamoja na sifa zote za Magari Ya Nissan March tumeziandika hapa chini pia Magari haya ni mazuri sana na yana ubora na pia yanastahimili sana barabara zetu.
Kwenye sifa za Gari Hii nilizokuandikia ukiona mahala nimepaacha wazi basi ni kwasababu bado sijaiona hiyo sifa kwenye Magari Ya Nissan March na endapo nikiiona nitaiongeza.
Bei Ya Nissan March Tanzania
Bei Ya Nissan March Used inaweza Kuwa Ndogo zaidi au kubwa zaidi Kwasababu inategemea na Uzima wa gari Pamoja na Uaminifu wa Dalali wa Magari Unayemtumia.
Pia Kuna muda Taarifa hizi zinaweza zikawa na kasoro na Endapo ukiona kuna kasoro yoyote tunaomba uwasiliane na sisi ili kuweza kuiweka sawa Taarifa ya Gari Hili la Nissan March ili iweze kuendana na uhalisia wake.
Sifa za Gari La Nissan March
Brand | Nissan |
Model | March |
Maximum Power | 58 – 150ps |
Launched in Tanzania | Yes |
Engine Capacity | 997 – 1,597cc |
Available in Tanzania | Yes |
Number of Seats | 5 |
Condition | Used |
Magari Ya Nissan March Yapo ya New Model na Old Model ya Miaka mbalimbali ila Hapa Tumekuandikia Sifa zake za Jumla za Model zote za Nissan March.
Ninayo Nissan March yangu 2005 engine cc1240 Naipenda sana.
Magari ya nissan ni mazuri sana na bei ni nafuu.