Wauzaji wa Ngombe Wenye Afya Tanzania

Verified
TZS 500,000+ CALL / SMS

Wauzaji wa Ng’ombe Tanzania Pamoja na wauzaji wa Nyama wa aina mbalimbali kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Ng’ombe wanaouzwa ni wengi na yenye afya sana.

Na pia kwenye namba za simu za muuzaji wa Ng’ombe Tanzania nilizokuandikia ukiona mahala kakukwaza naomba unijulishe ili nimtoe kwenye list ya wauzaji wa Ng’ombe Tanzania.

Wauzaji wa Ng’ombe Tanzania

Bei Ya Ng’ombe kwa Wauzaji wa Ng’ombe Tanzania inaweza Kuwa Ndogo zaidi au kubwa Zaidi Kwasababu inategemea na aina Pamoja na idadi ya Ng’ombe unaotaka kununua.

Wauzaji wa Ngombe Wenye Afya Tanzania
Wauzaji wa Ngombe Wenye Afya Tanzania
TZS 500,000+
Subscription Form

Tuandikie email yako uweze kupata post za mtandao wa wauzaji kwa haraka.

8 Comments
  1. Hivi biashara ya kuwa muuzaji wa ng’ombe kwa wale wanaochinja inalipa?

  2. Mimi niko Arusha asante kwa wauzaji wa ng’ombe

  3. Hata mimi nitajiunga na wauzaji wa ng’ombe

  4. Hii biashara ya uuzaji wa ng’ombe nimeingia mara mbili nimefeli, mtaji zaidi ya milioni kumi zimeteketea na wenzangu wanasema njoo uloge kwanza hivi ni kweli?

Leave a Reply to ALEX Cancel reply