Wauzaji wa Dawa Ya Tezi Dume Tanzania Pamoja na wauzaji wa Dawa Ya Tezi Dume za Asili Tanzania tumekuandikia hapa pia Dawa Ya Tezi Dume inayouzwa ni original na ina ubora.
Na pia kwenye namba za simu za muuzaji wa Dawa Ya Tezi Dume Tanzania nilizokuandikia ukiona mahala kakukwaza naomba unijulishe ili nimtoe kwenye list ya wauzaji wa Dawa Ya Tezi Dume Tanzania.
Wauzaji wa Dawa Ya Tezi Dume Tanzania
Bei Ya Dawa Ya Tezi Dume kwa Wauzaji wa Dawa Ya Tezi Dume Tanzania inaweza Kuwa Ndogo zaidi au kubwa Zaidi Kwasababu inategemea na aina Pamoja na idadi ya Dozi za Dawa Ya Tezi Dume unazotaka kununua.
Sababu za Ugonjwa wa Tezi Dume
- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini
- Uwepo wa sumu nyingi mwilini
- Kutokufanya mazoezi
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara
- Uzito mkubwa na Kitambi
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)
- Msongo wa mawazo
- Magonjwa ya zinaa
- Umri mkubwa
- Historia ya Familia (Kurithi)
Dalili za Ugonjwa wa Tezi Dume
- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku
Madhara Ya Tezi Dume
- Kushindwa kabisa kukojoa
- Kupatwa na maambukizi ya UTI
- Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu
- Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea
- Figo inaweza kuharibika