Vitu vya kuzingatia unapofanya biashara mtandaoni Tanzania ni muhimu kufahau mapema kwasababu Kufanya biashara kwenye mtandao ni jambo lenye faida na changamoto zake.
Unaweza ukawa na bidhaa nzuri sana lakini ukumbuke kuwa kila siku kunaanzishwa tovuti za kuuza bidhaa mtandaoni.
Haijalishi kuwa wewe ni ...
Kuna mahali ambapo kila tovuti au blog hutunzwa, mahali hapo ndipo hufahamika kama web host. Web host bora ni muhimu sana kwa ajili ya tovuti au blog yako.
Watu wengi wamekuwa wakifanya makosa wakati wa kuchagua web host kutokana na uelewa mdogo juu ya umuhimu wa web host bora pamoja na njia za kubaini web host ...
Kuchagua Jina la biashara Tanzania ni hatua muhimu na inabidi utambue sifa za jina la biashara ila watu wengi wamekuwa hawatilii maanani mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kuchagua jina la biashara.
1. Jina la biashara liendane na huduma unayotoa
Je unafahamu kwamba jina la biashara linatakiwa liakisi huduma ...
Domain ni muhimu sana kwa ajili ya utambulisho wa website au blog ya kile unachokifanya. Inawezekana una majina mengi ambayo unataka uyatumie kama domain ya mtandao ya tovuti au blog yako.
Lakini ni muhimu kufahamu kuwa ukifanya makosa kwenye kuchagua anwani ya mtandao utaathirika kwa kiasi kikubwa.
Madhara ya ...
Biashara ya kutengeneza juice ya miwa ina faida hivyo imekuwa maarufu sana katika mikoa mbalimbali hapa Tanzania. Hii inatokana na kinywaji cha juice ya miwa kuwa na faida nyingi katika mwili wa binadamu.
Faida ya juice ya miwa mwilini na kwenye biashara
Juice ya miwa inasaidia ni kusafisha mkojo, figo na ...
Faida na umuhimu wa kupanga bajeti ya biashara yako Tanzania pamoja na manufaa ya kupanga bajeti kwenye maisha ya kila siku kwa ujumla.
1. Utaelewa Fedha Zako Mahali Zinapo kwenda
Ukiwa hauna bajeti na unaingiza kipato kila siku au kila mwezi unaweza ukawa unapata pesa nzuri sana lakini ukawa huelewi fedha ...
Biashara za mtaji mdogo wengi huamini kuwa lazima uwe na fedha ndio uanzishe biashara na ndio sababu yao kuu ya kukaa bila kujishughulisha
Ukweli ni kwamba mtaji ni moja ya kitu muhimu sana katika kuanzisha biashara lakini kuna aina ya Biashara Ndogondogo unazoweza kuanzisha na kukupelekea kupata faida kubwa sana. ...
Jinsi ya kufanikiwa katika biashara tanzania na mbinu ambazo zitapelekea kupata mafanikio katika kuendesha na kukuza biashara yako ukiwa tanzania
1. Katika Biashara Uza Bidhaa Zenye mashiko
Kupata wateja kwenye biashara yako unatakiwa kuwa na kile wanachohitaji. Huwezi kuuza mwavuli msimu ya jua kali kwani ...
Mambo ya muhimu ya kuzingatia siku zote ili uweze kufanikiwa katika biashara mbalimbali kwa hapa Tanzania katika mkoa wowote uliopo
Jinsi ya kufanikiwa katika biashara?
Jipange kibiashara
kufanikiwa katika biashara unahitaji kujipanga Kujipanga kutakusaidia kukamilisha mipango yako na kukaa kwenye malengo ya ...
Biashara za mtandaoni zinazoingiza pesa
Biashara Ya Kuanzisha Tovuti
Kuna tovuti chache sana zilizopo kwa lugha ya kiswahili na hiyo peke yake ni fursa tosha kwako kuanzisha tovuti na kutengeneza kipato.
Kama unafikiria kufanya hivi ni muhimu kuhakikisha kuwa unajua nini hasWa wasomaji wako wanataka ...
Faida na umuhimu wa kuanza kuanzisha Biashara Tanzania ukiwa bado na umri mdogo pamoja na mtaji kidogo.
1. Utapata Uzoefu wa Biashara
Mtu ili upate uzoefu wa jambo lolote lazima uwe umefanya jambo hilo kwa muda flani angalau miaka mitatu na kuendelea.
Pia hata Katika Biashara yoyote ukiwa umesha wahi ...