Faida na Umuhimu wa Ufugaji wa Kuku Kibiashara Tanzania

Faida za ufugaji wa kuku ni nyingi lakini leo nitaelezea faida na hasara za ufugaji wa kuku wa kisasa, kienyeji ambazo kwa wengine huenda zikawa ni ngeni kwao ;

  • Mayai huweza kutumika kwa tiba. (Pata maelezo jinsi yai la kuku wa kienyeji linavyoweza kutumika kwa tiba kutoka kwa wataalam wa tiba mbadala)
  • Kiini cha njano cha yai kinaweza kutumika kutengenezea mafuta ya nywele (shampoo)
  • Manyoya yake yanaweza kutumika kama mapambo.

Jinsi ya kupata faida katika ufugaji wa kuku

  • Chanjo ya mdondo kila baada ya miezi mitatu na chanjo ya ndui mara mbili kwa mwaka
  • Zuia viroboto, utitiri na minyoo.
  • Chagua mayai bora kwa ajili ya kuatamiza
  • Panga kuuza kuku kwa makundi uongeze kipato
  • Kula mayai na kuku kadri uzalishaji unavyoongezeka.
  • Kipato unachokipata utenge pia na kiasi kwa ajili ya uendelezaji wa kuku

Hasara katika ufugaji kuku

  • Yako mapungufu mengi yanayofahamika lakini hapa naomba niweke lile la muhimu zaidi. Magonjwa ya kuku kama mdondo na ndui huathiri ufugaji wa kuku kutokana na kutokuzingatia kuchanja kuku kwa wakati.
Subscription Form

Tuandikie email yako uweze kupata post za mtandao wa wauzaji kwa haraka.

Tuandikie Mawazo Yako

Leave a reply

Wauzaji
Logo