0777 ni Mtandao Gani Tanzania?

0777 ni mtandao wa Tanzania Hivyo basi ukiona sms imeingia kwenye simu yako au mtu kakupigia kwenye simu yako kwa namba inayoanziwa na 0777 Basi Tambua kuna uwezekano mkubwa Huyo mtu akawa anatumia mtandao wa Zantel Tanzania ila kuna muda inasoma kama Tigo.

0777 ni Mtandao Gani?

0777 Kwa Tanzania ni code inayotumika kwenye namba za simu za baadhi ya watumiaji wa mtandao wa simu wa Zantel ila kuna muda inasoma kama tigo kwasababu zote zinamilikiwa na tigo.

Subscription Form

Tuandikie email yako uweze kupata post za mtandao wa wauzaji kwa haraka.

Tuandikie Mawazo Yako

Leave a reply

Wauzaji
Logo