User Posts: Lenald Minja
-1

Wauzaji wa Vitenge Tanzania Pamoja na wauzaji wa Vitenge kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Vitenge vinavyouzwa ni vizuri na vyenye ubora sana. ...

0

Wauzaji wa Mashati Ya Kiume Tanzania Pamoja na wauzaji wa Shirt za Kiume kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Mashati Ya Kiume yanazouzwa ni mazuri ...

0

Wauzaji wa Miche Ya Korosho Tanzania Pamoja na wauzaji wa Miche Ya Korosho kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Miche Ya Korosho inayouzwa ni bora na ...

0

Wauzaji wa Mafuta Ya Nywele Tanzania Pamoja na wauzaji wa Mafuta Ya Kukuza Nywele kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Mafuta Ya Nywele yanayouzwa ni ...

4649

Wauzaji wa Mihogo Ya Jumla Tanzania Pamoja na wauzaji wa Mihogo Ya Jumla ya aina mbalimbali kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Mihogo Ya Jumla ...

0

Wauzaji wa Machenza Tanzania Pamoja na wauzaji wa Machenza kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Machenza yanayouzwa ni mazuri na makubwa. Na pia ...

0

Wauzaji wa Rimu za Magari Tanzania Pamoja na wauzaji wa Rim za Magari used na mpya kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Rimu za Magari zinazouzwa ni ...

0

Wauzaji wa Stabilizer Tanzania Pamoja na wauzaji wa Stabilizer used na mpya kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Stabilizer zinazouzwa ni imara na ...

1

Wauzaji wa Vifaa vya Kupalilia Tanzania Pamoja na wauzaji wa Vifaa vya Kupalilia used na vipya kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Vifaa vya ...

0

Wauzaji wa Vyakula vya Ng'ombe Tanzania Pamoja na wauzaji wa Vyakula vya Ng'ombe vya aina mbalimbali kwa bei nafuu Tanzania tumekuandikia hapa pia Vyakula vya ...

User Articles: Lenald Minja
Browsing All Comments By: Lenald Minja
  1. Asante sana Issa kwa comment yako pia ni kweli hiyo njia uliyoisema ni nzuri pia.

  2. Asante sana Philly kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  3. Asante sana Abdallah kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  4. Asante sana Jabir kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  5. Asante sana Cosmas kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  6. Asante sana Gerald kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  7. Asante sana Hamis kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  8. Asante sana Charles kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  9. Asante sana Engerasia kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona pia ni kweli magonjwa ya nguruwe yanavunja sana moyo.

  10. Asante sana Onesmo kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  11. Asante sana Morisi kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

  12. Asante sana Tarick kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  13. Asante sana Tumaini kwa comment yako na pia ni kweli kilimo cha vitunguu kwa ujumla faida yake ni nzuri sana.

  14. Asante sana Haruni kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie biashara yako ikuwe zaidi.

  15. Asante sana Abdallah kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  16. Asante sana Jackson kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  17. Asante sana Emmanuel kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  18. Asante sana Zuberi kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  19. Asante sana Alais kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  20. Asante sana Ngaula kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

  21. Asante sana Alex kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

  22. Asante sana Martin kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  23. Asante sana Daniel kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

    Pia kuhusu swala la kuandika business plan ukiangalia kwa makini kwenye post zangu za nyuma utaliona pia.

  24. Asante sana Msabaha kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

  25. Asante sana Silas kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  26. Ndio Projestus, tunaweza kushirikiana karibu sana.

  27. Asante sana Buhanza kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  28. Asante sana Alex kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

  29. Asante sana Jumanne kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  30. Asante sana Marko kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  31. Asante sana Joseph kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

  32. Asante sana Wilehard kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

  33. Mikoa yote ni mizuri kwa ufugaji ila kikubwa ni kujaribu kwanza kufanya utafiti wa mazingira kama ni rafiki kwa ufugaji wa kuku wako wa kieyeji.

  34. Asante sana Rashidi kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  35. Asante sana Godie kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  36. Asante sana Fatuma kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  37. Asante sana Sebastian kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  38. Asante sana Meliki kwa comment yako na mimi nakuombea kwa Mungu akusaidie ufanikishe.

  39. Asante sana Michael kwa comment yako na nimefurahi sana kuiona.

  40. Asante sana Gerold kwa comment yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  41. Asante sana Pavlov kwa comment yako na mimi nakuombea Mungu akusaidie ufanikishe.

  42. Asante sana Baraka kwa comment yako na mimi nakuombea Mungu akusaidie ufanikishe.

  43. Asante sana Amani kwa maoni yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  44. Asante sana Alen kwa maoni yako na mimi nimefurahi kusikia hivyo.

  45. Jitahidi Kufanya utafiti wa soko la bidhaa zako pia usipuuze kujitangaza kuhusiana na biashara yako kwenye mitandao ya kijamii.

  46. Usijali boss wauzaji wa humu ndani hawanaga longolongo karibu sana

  47. Sio kweli na usikubali kutegemea nguvu za giza mfanye Mungu awe ndio tegemeo lako.

    Kikubwa fanya kwanza utafiti wa soko pamoja na changamoto zake.

  48. Usijali wauzaji wa humu hawanaga longo longo.

  49. Asante sana kwa kuleta mrejesho saidi.

  50. Karibu sana boss wauzaji wa mbuzi nyama ya mbuzi wapo kwa ajili yako.

  51. Karibu sana boss wauzaji wa vifaa mbalimbali vya uvunaji wapo kwa ajili yako.

  52. Inawezekana karibu sana boss wauzaji photocopy machines wapo kwa ajili yako.

  53. Gari za Spacio Naona tu ni wastani ila japo bado kuna watu wanaona inakula mafuta.

  54. Ndio boss na pia wauzaji wa pasi wapo kwa ajili yako.

  55. Karibu sana boss wauzaji wa vyombo vya muziki wapo kwa ajili yako.

  56. Utapata boss na wauzaji wa hilux used wapo kwa ajili.

  57. Asante sana boss nimefurahi kusikia hivyo.

  58. Asante sana pia comment yako imenipa faraja sana. kweli kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wa taifa letu tuzidi kukizania.

  59. Karibu sana boss wauzaji wa mashine za alizeti wapo kwa ajili yako.

  60. Ndio utapata boss na wauzaji wa toyota used wapo kwa ajili yako.

  61. Kweli kabisa boss sio rahisi kukuta bata amekondeana na wengi wao wamejaa sana nyama.

  62. Karibu sana boss wauzaji wa simu janja wapo kwa ajili yako.

  63. Asante sana nimepata faraja nilivyoiona hii comment yako na mimi nakushauri usichoke kukazana.

  64. Magari ya subaru yapo vizuri sana boss kwa safari.

  65. Nakuombea uweze kufanikiwa katika biashara ya choroko unayotaka kuanza.

  66. Jitaidi uanze na naamini utafika mbali sana na duka lako la rejareja.

  67. Asante sana boss nimefurahi kusikia hivyo.

  68. Kitu pekee ambacho nakushauri ni kuanza kufuga yaani jitahidi uishinde hofu ya ufugaji kuku kwanzia muda huu.

  69. Bei ya boti za uvuvi inategemea na vitu vingi ikiwemo ukubwa na uwezo ila muuzaji wa boat atakupa maelezo zaidi.

  70. Karibu sana boss wauzaji wa sungura wapo kwa ajili yako.

  71. Unapata boss na wauzaji wa engine wapo kwa ajili yako.

  72. Gari la Nissan x trail lipo vizuri sana boss popote chap unafika.

  73. Asante sana boss wauzaji wa sambusa wapo kwa ajili yako.

  74. Tayari wauzaji wengine wote wapo wa vifaa vya stationary wapo na ukiangalia kwa hapo juu utakutana nao.

  75. Asante sana na mimi nimejisikia faraja kwa hii comment yako.

  76. Kuna uwezekano ukawa ni mtandao wa Halotel

  77. Karibu sana wauzaji wa pete za silver wapo kwa ajili yako boss.

  78. Uuzaji wa mbuzi kwa baadhi ya mikoa ni nafuu sana kwasababu upatikanaji wake ni mkubwa.

  79. Nakuombea pesa itimie ili na wewe uanze biashara ya juice ya miwa na ufike mbali.

  80. Karibu sana boss wauzaji wa simu wapo kwa ajili yako.

  81. Asante sana nimejisikia sana faraja boss pia ondoa shaka humu ndani wauzaji wote ni wastaharabu.

  82. Connection kwa hapa Tanzania ndio msingi mkuu boss hata sisi wauzaji tupo kwa ajili hiyo.

  83. Usijali Karibu sana boss wauzaji wa vikapu wapo kwa ajili yako.

  84. Ukishanunua mashine yako ya kufulia na ukaanza kapata wateja wa kuleta nguo hapo lazima ufanikiwe mbona.

  85. Usikate tamaa naamini ipo siku na wewe utakuwa na bajaj yako.

  86. Usijali boss wauzaji wa magari hapa Tanzania wapo kwa ajili yako.

  87. Ndio usijali Wauzaji wa solar wapo kwa ajili yako boss.

  88. Karibu sana boss wauzaji tunakukaribisha sana

  89. Ndio wauzaji wa korosho wapo kwa ajili yako siku zote.

  90. Hakuna kinacho shindikana boss wauzaji wa vifaa wapo kwa ajili yako.

  91. Asante sana boss post zetu za biashara kweli zina hamasisha sana.

  92. Wauzaji wapo kwa ajili yako boss.

  93. Karibu sana boss wauzaji wa mashine za kubangua korosho wapo kwa ajili yako.

  94. Jitahidi uianze mimi naamini kama ukiifanya vizuri biashara ya miwa utapata faida.

  95. Asante sana boss na tayari chimbo nyingi tayari tumeziweka.

  96. Asante sana boss nimefurahi sana kusikia hivyo.

  97. Nashukuru sana maneno yako yamenipa faraja hakika elimu ya ufugaji ni nzuri sana.

  98. Faida za mitandao ya kijamii kwenye biashara ni nyingi sana boss.

  99. Mashine mara nyingi zina save sana muda boss haswa katika kubangua korosho.

  100. Karibu sana boss wauzaji wa vifaa vya simu wapo kwa ajili yako.

  101. Simu za tecno pia ni nzuri sana boss kwa matumizi ya kila siku.

  102. Nakuombea na wewe utapata mtaji wa kukutosha kuanzisha biashara yako.

  103. Usijali boss nakuombea na wewe umiliki bajaji yako.

  104. Asante sana boss nyingine nyingi zaidi zinakuja

  105. Asante sana boss kuanzisha biashara ndio kuwe kipaumbele.

  106. Karibu sana boss wauzaji wa sendo wapo kwa ajili yako

  107. Karibu sana boss wauzaji wa solar wapo kwa ajili yako

  108. Asante sana boss comment yako imenipa faraja

  109. Naamni watakuwa nazo embu jaribu kuwasiliana nao.

  110. Karibu sana boss wauzaji wapo kwa ajili yako

  111. Karibu sana boss wauzaji wapo kwa ajili yako

  112. Mimi napendaga kusema mtaji mzuri wa kuanzia kwenye biashara ya nguo za watoto ni ule ambao unao.
    anza na kidogo ulicho nacho naamini mungu atakusaidia na utafika mbali zaidi.

  113. Kuna vitu vingi vinaangaliwa kwenye pesa za zamani wasiliana na wauzaji watakuambia.

  114. Karibu sana boss wauzaji wapo kwa ajili yako

  115. Asante sana boss ni nzuri sana.

  116. inategemea na ujazo wa tenki unalotaka.

  117. Wauzaji wa Tv na hata mafundi wa Tv pia wapo boss.

  118. Asante sana boss comment yako imenipa faraja sana.

  119. Sio mbaya ila jina hilo litatumia sana pesa nyingi kwenye brand kwasababu ni ngumu mtu kufahamu mabecity inahusiana na nini.

  120. Nguruwe ni fursa nzuri sana boss wangu.

  121. Asante sana boss comment yako imenipa furaha

  122. Asante sana boss comment yako imenipa faraja

  123. Alafu upate na ugali wa moto moto boss

  124. Ndio boss hazinaga mambo mengi ni chap chap.

  125. Kwa mambo ya picha picha ziko poa sana.

  126. Korosho ni nzuri sana boss

  127. Asante sana boss comment yako imenipa faraja

  128. Kabisa boss hakuna kukata tamaa wala kupoteza matumaini mpaka siku tunakufa.

  129. Hongera sana boss na mungu akubariki na mifugo yako ikupe faida mara mia ya uwekezaji wako

  130. Passo ni gari nzuri kwa kuvimba town boss.

  131. Kabisa boss yaani Mungu ni wa kwanza katika kila jambo hapa duniani.

  132. Kabisa boss ni muhimu kwa kilimo

  133. Asante sana boss comment yako imenipa faraja

  134. Safi sana boss kwa taarifa

  135. Mungu akubariki duka lizidi kukua boss upate faida ya kutosha

  136. Anza wala usijali hakuna kinacho shindikana

  137. Asante sana boss comment yako imenipa faraja

  138. Asante barikiwa sana boss.

  139. Mapensheni ni mazuri sana boss.

  140. Samsung wapo juu juu kimtindo boss

  141. Hizi kama ni mtu wa shooting zimekaa poa sana boss.

  142. Anzisha boss nina amini hakuna kinacho shindikana.

  143. Gari nzuri sana hizi alafu simple sana.

  144. Kwenye kuchagua biashara ya kuianzisha mtandaoni inabidi uchague ambayo wewe binafsi imekuvutia ili uweze kuifanya kwa Bidii zaidi.

  145. Biashara nyingi za Mtandaoni siku zote faida yake inaanza ikiwa ndogo sana ila kila siku biashara inavyokuwa na faida inazidi kupanda.

    Hivyo basi Online Business mara nyingi Siku za Mwanzoni huwa inahitaji sana uvumilivu na moyo wa kujitoa.

  146. Siku zote Kila biashara inafaida japo kwenye biashara ya uuzaji wa mayai faida ipo ila sio kubwa sana.

  147. Upo sahihi hizi biashara ndogo ndogo zinahitaji sana ujasiri wa kuzishinda changamoto zinazokuzuia kuanzisha biashara yako.

  148. Tumeshawaweka na Bado tunazidi kuwaongeza wauzaji wa bajaji wengine wengi zaidi.

  149. Ukiwa na Nia naamini ipo siku utamiliki Bajaji yako Jitahidi usikate Tamaa.

  150. Karibu sana Pia Bado Tunazidi kuwaongeza wauzaji wengi zaidi.

  151. Ufugaji wa kuku unahitaji moyo wa kujitoa sana na kujifunza kila siku.

  152. Yanatia hofu sana ndio maana ni vizuri kujifunza jinsi ya kufahamu dalili za magonjwa ya nguruwe mapema zaidi.

  153. Jitahidi uanze biashara yako kwasababu muda sahihi wa kuazisha biashara ni sasa.

  154. Usijali Pia Tunazidi kuwaweka wauzaji wa Engine za Magari wengi zaidi.

  155. Karibu wauzaji wa keki niliowaweka wana bei nafuu na wanatengeneza cake nzuri sana.

  156. Tena Wauzaji wa smartphone kwa mikoani ni wachache sana Nakuombea uweze kufanikiwa.

  157. Karibu sana Pia bado tunazidi kuwaongeza wauzaji waaminifu wengi zaidi.

  158. Karibu sana humu kuna namba za wauzaji wa kila kitu na bado Tunazidi Kuongeza.

  159. Japo ufugaji wa nguruwe una changamoto ila faida yake ni nzuri.

  160. Ndio biashara ya uuzaji wa ngombe inalipa ila kila biashara inachangamoto zake.

  161. Hongera na Pia Jitahidi sana ili uweze kufikia malengo yako.

  162. Tayari na Bado tunazidi kuwaongeza wauzaji wengine wa vifaa vya afya.

  163. Karibu humu utakutana na namba za wauzaji wa kila kitu.

  164. Wanauzika sana kwasababu hawa dagaa wa mwanza ni wazuri mno.

  165. Hata hawa wauzaji huwaga wanauza tu paka wa kizungu pekee.

  166. Wengi Ni wazuri na paka weupe wanavutia sana.

  167. Magari ya nissan ni mazuri sana na bei ni nafuu.

  168. Jitahidi ufikie malengo yako ya kununua bajaji na uweze kujiajiri kubeba abiria.

  169. Sisi tunawaweka wauzaji na namba zao wewe kazi ni kwako kuwasiliana nao.

  170. Wapo vizuri sana na pia Tv za samsung zina ubora mzuri.

  171. Kabisa ubora wa canon ni mzuri japo inategemeana na sifa zilizokuja na hiyo camera.

  172. Ndio inalipa ila wewe kama muuzaji wa simu inabidi uwe mvumilivu kidogo kwenye kupata wateja wa mara kwa mara.

  173. Pia Mayai ya kienyeji ni matamu sana.

  174. Kuku wa kienyeji wana faida sana kwanzia kwenye ufugaji, uuzaji na mpaka kwenye afya.

  175. Siku zote hizi namba za mitandao huwa zinachanganya sana.

  176. Hongera sana na jitahidi ili uweze kufikia malengo yako ya kuwa muuzaji wa simu.

  177. Upo sahihi sana Hiyo pia ni moja ya mbinu nzuri za kufanikiwa katika biashara.

  178. Nimefurahi sana Kuona Umependezwa na Ufugaji wa Nguruwe na Faida zake.

  179. Siku za Mbeleni Tutaziweka Namba za Wauzaji wa Matairi ya Magari ili uweze Kuwasiliana nao Moja kwa Moja.

  180. Hata mimi pia Nimefurahi sana Kuona Umepata Maarifa ya ujasiriamali wa biashara ya juice ya miwa.

  181. Kuhusu gharama ya kuhudumia kuku inategemea na nani ambaye anawahudumia hao kuku na Chakula unatengeneza mwenyewe au Unanunua?

    Haya Maswali yatakusaidia sana Kujua Makadilio ya Gharama ya Ufugaji utakayotumia.

  182. Siku za Mbeleni Tutaziweka Namba za Wauzaji wa Mbegu za Maboga uweze Kuwasiliana nao Moja kwa Moja.

  183. Wauzaji wote Kwenye Website yetu Tunaowaweka ni Wauzaji wenyewe Kabisa Kwaio kuwa na Amani.

  184. Tutaziweka Namba za Wauzaji wa Choroko Kwenye Website yetu ili Uweze Kuwapigia na Kuongea nao.

  185. Nashukuru sana kwa kupendezwa na elimu Hii ya biashara ya kuuza nguruwe Pia Jitahidi sana ili uweze kutimiza ndoto yako ya kuwa muuzaji na mfugaji wa nguruwe.

  186. Kwa wajasiriamali wadogo na wakati Kwenye swala la Ufugaji wa Kuku napendaga kushauri ni vizuri ukaanza kidogo kidogo kulingana na ulichonacho.

    Hii itakufanya kupata uzoefu wa jinsi ya kupambana na changamoto katika ufugaji wa kuku.

  187. Sawa Usijali Tukiweka namba za Wauzaji wa cctv camera tutakuunganisha nao Ondoa shaka.

  188. Bado Tunazidi Kuongeza List Ya Wauzaji Jaribu Kusearch Pale Juu ili Uweze Kuwapata Wauzaji wa viatu vya ngozi na Pamoja na Wauzaji wa Viatu vya Shule.

  189. Kwenye Ufugaji wa Nguruwe Yapo Magonjwa Yana Wasumbua sana Hivyo Ni Vyema Ukimuona Daktari wa Mifugo Kwa Haraka ili Aweze Kuwaangalia na kisha Akupatie Ushauri.

  190. Kuhusu gharama ya kuhudumia Kuku inategemeana na vitu vingi sana ikiwemo Mahali ambapo unafanyia Ufugaji wako Je ni Ndani Ya Mji au Nnje ya Mji?

    Pia inategemea na nani ambaye anawahudumia hao kuku na Chakula unatengeneza mwenyewe au Unanunua? Haya Maswali yatakusaidia sana Kujua Makadilio ya Gharama ya Ufugaji utakayotumia.

  191. Tunazidi Kuongeza List Ya Wauzaji Hivyo Jaribu Kusearch Pale Juu ili Uweze Kuwapata Wauzaji wa Vifaranga na Pamoja na Wauzaji wa Bidhaa Nyingine za Tanzania.

  192. Ndio Madera Yako Yatakufikia Kwasabababu Website Yetu ya Wauzaji Lengo Kubwa ni Kuwaweka Wauzaji Waaminifu Tu na Hatuwaweki Madalali.

    Hivyo Basi Kila Muuzaji Utakayemkuta Ndani Ya Website Yetu Basi Tambua mzigo wako Unaonunua Lazima Uupate.

  193. Nimefurahi sana Kuona umependezwa na Post yetu Usisite kuchukua hatua kuanzisha biashara yako ya vifaa vya ujenzi kwasababu muda Sahihi ndio Muda Huu.

  194. Asante sana Tunashukuru Kwa Kuonesha Kupendezwa na Elimu yetu.

    Kuhusu Swala la Kuungana na Sisi Wauzaji linawezekana ila Tu Uwezekano wa Kukubaliwa Sio Mkubwa Sana Kutokana idadi Ya Watu Wanaohitaji ni Wengi.

  195. Asante sana Pia Tutafurahi zaidi Kama siku za mbeleni ukija kutupa mrejesho wa mafanikio Katika biashara ya vifaa vya ujenzi.

  196. Asante sana Kwa Mawazo Yako Mazuri. Kila siku Tunazidi Kuwaongeza Wauzaji na wanazidi Kuongezeka Kwa Kasi Hivyo Watakuwa wengi sana.

  197. Asante sana Kwa Mawazo Yako Mazuri. Kila siku Wauzaji wanazidi Kuongezeka Hivyo Watakuwa wengi sana.

  198. Bado Hatujafungua Group la ufugaji wa Nguruwe Tanzania. Kwasasa bado Tunazidi Kuungana na wauzaji wa bidhaa mbalimbali Tanzania na kuwaweka kwenye website yetu ya Wauzaji.

  199. Pole sana Jaribu Kumwona daktari wa kuku wa kienyeji nazani atakushauri vizuri jinsi ya kufuga kuku wa kienyeji kwa kuendana na mazingira uliyopo ili uweze kupata faida katika ufugaji wako.

    kwasababu kuna uwezekano ikawa ni tatizo la kimazingira.

  200. Fuata Njia nilizoziandika pia Kumbuka ni watu wengi sana wanawaza jinsi ya kupata mtaji wa biashara kwa Tanzania kwaio usikate Tamaa na muombe mungu na pia anza na hiko hiko Kidogo ulichonacho.

    Kwasababu kwenye ujasiriamali Ukishindwa Kujaribu Basi utakuwa Unajaribu Kushindwa.

  201. Changamoto katika ufugaji wa kuku zipo nyingi sana Rafiki yangu ila usikate tamaaa pia jitahidi sana kujua wengine walifanyaje wakazishinda changamoto hizo pia jitahidi sana kujifunza kwa wengine pamoja kusoma vitu vipya vinavyo husiana na ufugaji wa kuku.

    Usikate tamaa katika ufugaji wowote ule kwasababu hata mimi pia nilieandika hii post bado kuna changamoto mpya nakutana nazo.

  202. Kwasasa Tumepost tu Kuhusu Ufugaji wa Nguruwe ila Bado Hatujawaweka Wauzaji wa nguruwe ila naamini baaada ya muda kidogo Tutawaweka.

  203. Karibu sana na ukiwa hapa na sisi wauzaji utajifunza mengi zaidi kuhusu jinsi ya kutengeneza pesa na kufanya biashara online na ni bure.

  204. Asante sana kwa kuonesha kuyapenda maelezo yetu ya kilimo cha nyanya tanzania

  205. Ndio Hizo nilizoandika ni tiba za ugonjwa wa ndui kwa kuku ila ni vizuri ukamuona daktari wa kuku ili kupata ushauri zaidi kuhusiana na ugonjwa wa ndui.

  206. Karibu sana Blender za Kuchaji Bado Tunazo Tupigie Simu Hapo Juu.

  207. Karibu sana na endelea kusoma post zetu za ufugaji nazani Utapata Taarifa nyingi sana kuhusiana na ufugaji wa tanzania.

  208. Pole sana soma vizuri naamini utajua jinsi ya kutibu ugonjwa wa ndui pia jitahidi kumwona mtaalamu wa ufugaji wa kuku upate msaada wa mawazo zaidi.

  209. Sawa Usiogope Kuanza kulipia matangazo facebook.

  210. Ndio inawezekana Pia usiogope kuanza ufugaji wa kuku kwasababu changamoto utakazopitia ndio zitakujengea uelewa zaidi kuhusu ufugaji wa kuku wenye faida.

  211. Napenda sana Kuwa na Marafiki ambao ni wauzaji Nitumie namba yako.

  212. Karibu sana mizani za jikoni zipo tupigie simu hapo juu.

  213. Hapana bado Hatujaanza madarasa ya biashara kwa sasa.

  214. Ugonjwa wa ndui ni hatari sana na unaweza kupata kuku wa rika zote.

  215. Asante sana Karibu sana mara kwa mara uweze kupata maarifa kuhusu kilimo.

  216. Asante sana kwa kuonesha kufurahia kilimo cha nyanya

  217. Mbegu za hawa kuku zipo na utapata kwa wafugaji wa kuku wa kienyeji.